ACT WAZALENDO WALIZWA NA WIZI WA KURA

ACT WAZALENDO WALIZWA NA WIZI WA KURA

  • Habari
  • April 16, 2025
  • No Comment
  • 62

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu, amesema Uzoefu wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019, Uchaguzi Mkuu 2020 na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 unaonesha kuwa thamani ya kura imepotea.

Amesema Viongozi hawachaguliwi tena kwa kura za Wananchi na badala yake ni nguvu ya dola inayoamua nani awe Kiongozi, akiongeza kuwa ni mapinduzi dhidi ya Haki ya raia ya kuchagua Viongozi wao na ni hujuma isiyovumilika

Semu amesema chama hicho kitashiriki kikamilifu katika uchaguzi mkuu wa mwezi oktoba mwaka huu licha ya baadhi ya vyama kutangaza kutoshiriki uchaguzi huo.

Semu ameyasema hayo katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika mjini Unguja, Zanzibar

Related post

TIMU YA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YATINGA MANYARA NA ARUSHA

TIMU YA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA WIZARA YA MALIASILI…

10 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Na Sixmund Begashe, Arusha Timu ya wataalamu wa Ufuatiliaji na Tathmini…
HANDENI MJI YAAINISHA MIKAKATI MITANO KUIMARISHA AFUA ZA LISHE

HANDENI MJI YAAINISHA MIKAKATI MITANO KUIMARISHA AFUA ZA LISHE

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Na Mwandishi Wetu HALMASHAURI ya Mji Handeni imeainisha mikakati mitano ya…
RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *