DKT.MPANGO ATEMBELEA BANDA LA BENKI YA  TADB KATIKA MAONESHO YA NANENANE DODOMA 

DKT.MPANGO ATEMBELEA BANDA LA BENKI YA  TADB KATIKA MAONESHO YA NANENANE DODOMA 

10 / 100 SEO Score

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisikiliza maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) Frank Nyabundege kuhusu miradi mbalimbali inayofadhiliwa na Benki hiyo wakati Makamu wa Rais akikagua mabanda ya maonesho katika ufunguzi wa maonesho ya Nanenane Kitaifa yanayofanyika Viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma.

…..

Related post

TIMU YA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YATINGA MANYARA NA ARUSHA

TIMU YA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA WIZARA YA MALIASILI…

10 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Na Sixmund Begashe, Arusha Timu ya wataalamu wa Ufuatiliaji na Tathmini…
HANDENI MJI YAAINISHA MIKAKATI MITANO KUIMARISHA AFUA ZA LISHE

HANDENI MJI YAAINISHA MIKAKATI MITANO KUIMARISHA AFUA ZA LISHE

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Na Mwandishi Wetu HALMASHAURI ya Mji Handeni imeainisha mikakati mitano ya…
RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *