DKT.NCHIMBI AENDELEA KUSAKA KURA ZA USHINDI WA KISHINDO ZA CCM RUFIJI, PWANI.

DKT.NCHIMBI AENDELEA KUSAKA KURA ZA USHINDI WA KISHINDO ZA CCM RUFIJI, PWANI.

  • Habari
  • October 9, 2025
  • No Comment
  • 19
13 / 100 SEO Score

PICHA za matukio mbalimbali za Mgombea mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akiwahutubia Wananchi kwenye mkutano wake wa hadhara wa kampeni katika Uwanja wa Soko la Tasaf, Kata ya Nyamwage, Wilaya ya Rufiji mkoa wa Pwani, leo Alhamisi Oktoba 9,2025.

Katika Mkutano huo Dkt.Nchimbi alimuombea kura za ushindi wa kishindo Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.Samia Suluhu pamoja na Wabunge na Madiwani.

Katika hatua nyingine Dkt.Nchimbi pia alipata nafasi ya kumnadi mgombea Ubunge wa jimbo la Rufiji,Ndugu Mohammed Mchengerwa na Madiwani.

Dkt.Nchimbi anafikia mkoa wa 19 (Tanzania Bara) akizunguka nchi zima kunadi sera na Ilani ya CCM ya 2025-2030,huku akiwahimiza Wananchi kuichagua serika ya CCM kwa miaka mingine mitano,itakayolenga kuwaletea maendeleo Wananchi.

Related post

RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score
BUNGE LA 13 KUANZA RASMI KESHO JIJINI DODOMA

BUNGE LA 13 KUANZA RASMI KESHO JIJINI DODOMA

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score MKUTANO wa kwanza wa Bunge la 13 unatarajiwa kuanza rasmi kesho,…
TANZANIA YAIHAKIKISHIA DUNIA HALI YA UTALII IKO SALAMA

TANZANIA YAIHAKIKISHIA DUNIA HALI YA UTALII IKO SALAMA

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Na Mwandishi Wetu, Riyadh Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii,…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *