DKT.NCHIMBI AENDELEZA KAMPENI DODOMA KWA KUMNADI DK.SAMIA

DKT.NCHIMBI AENDELEZA KAMPENI DODOMA KWA KUMNADI DK.SAMIA

  • Habari
  • October 16, 2025
  • No Comment
  • 19
13 / 100 SEO Score

PICHA mbalimbali za mkutano wa kampeni wa Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel John Nchimbi uliofanyika katika Kata ya Songambele,Jimbo la Kongwa mkoani Dodoma leo Oktoba 16, 2025.

Mkutano huo wa Dkt. Nchimbi ni wa 97 tangu alipoanza kufanya mikutano ya hadhara ya kampeni ya kusaka kura za mgombea Urais wa chama hicho Dkt. Samia Suluhu Hassan, kura za wagombea Ubunge na Udiwani wa chama hicho katika mikoa 24 kati ya hiyo 22 ni ya Tanzania Bara na 2 ya Zanzibar.

Related post

RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score
BUNGE LA 13 KUANZA RASMI KESHO JIJINI DODOMA

BUNGE LA 13 KUANZA RASMI KESHO JIJINI DODOMA

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score MKUTANO wa kwanza wa Bunge la 13 unatarajiwa kuanza rasmi kesho,…
TANZANIA YAIHAKIKISHIA DUNIA HALI YA UTALII IKO SALAMA

TANZANIA YAIHAKIKISHIA DUNIA HALI YA UTALII IKO SALAMA

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Na Mwandishi Wetu, Riyadh Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii,…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *