DKT. NCHIMBI AUNGURUMA SINGIDA VIJIJINI

DKT. NCHIMBI AUNGURUMA SINGIDA VIJIJINI

  • Habari
  • October 14, 2025
  • No Comment
  • 24
13 / 100 SEO Score

PICHA mbalimbali za Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Emmanuel John Nchimbi akiwasili katika uwanja wa CCM uliopo kata ya Ilongero, jimbo la Ilongero,wilaya ya Singida Vijijini kuwahutubia,kuomba kura, kunadi sera na Ilani ya CCM ya 2025-2030 kwa Wananchi kwenye mkutano wake wa hadhara wa kampeni leo Oktoba 14, 2025 mkoani Singida.          

Related post

RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score
BUNGE LA 13 KUANZA RASMI KESHO JIJINI DODOMA

BUNGE LA 13 KUANZA RASMI KESHO JIJINI DODOMA

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score MKUTANO wa kwanza wa Bunge la 13 unatarajiwa kuanza rasmi kesho,…
TANZANIA YAIHAKIKISHIA DUNIA HALI YA UTALII IKO SALAMA

TANZANIA YAIHAKIKISHIA DUNIA HALI YA UTALII IKO SALAMA

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Na Mwandishi Wetu, Riyadh Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii,…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *