HALI YA PAPA FRANCIS INATIA MASHAKA HOSPITALINI

HALI YA PAPA FRANCIS INATIA MASHAKA HOSPITALINI

  • Habari
  • February 24, 2025
  • No Comment
  • 98

Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis yupo katika hali mbaya ya kiafya kutokana na homa ya mapafu.

 

Taarifa ya Vatican imesema kiongozi huyo wa kidini mwenye umri wa miaka 88 alifanyiwa vipimo vya damu na kugundulika na vipimo hivyo kuonyesha dalili za mapema za kushindwa kwa figo japo anaendelea kuwa macho na mwenye mwelekeo mzuri.

 

Taarifa hiyo imeeleza kuwa, vipimo vingine vya damu vimeonyesha dalili za awali za kushindwa kwa figo lakini madaktari wamesema hali hiyo inadhibitiwa, huku maombi maalum yakifanyika katika makanisa mbalimbali duniani kote kwa ajili ya kumuombea afya njema kiongozi huyo.

✍️| @kastulelias_

Related post

TIMU YA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YATINGA MANYARA NA ARUSHA

TIMU YA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA WIZARA YA MALIASILI…

10 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Na Sixmund Begashe, Arusha Timu ya wataalamu wa Ufuatiliaji na Tathmini…
HANDENI MJI YAAINISHA MIKAKATI MITANO KUIMARISHA AFUA ZA LISHE

HANDENI MJI YAAINISHA MIKAKATI MITANO KUIMARISHA AFUA ZA LISHE

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Na Mwandishi Wetu HALMASHAURI ya Mji Handeni imeainisha mikakati mitano ya…
RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *