ISRAEL NA HAMAS WABADILISHANA WAFUNGWA

ISRAEL NA HAMAS WABADILISHANA WAFUNGWA

  • Habari
  • January 20, 2025
  • No Comment
  • 97

Makubaliano Ya Kusitisha Vita Gaza Yanaingia Siku Ya Pili Leo Tangu Yaliposiniwa Wiki Iliyopita Licha Ya Uwepo Wa Fununu Za Kuendelea Kwa Mashambulizi Katika Eneo Hilo.

 

Israeli Imesema Katika Kuonesha Kuwa Inafuata Makubaliano Hayo, Imewaachia Huru Wafungwa 90 Wa Kipalestina Kama Sehemu Ya Kubadilishana Na Mateka Watatu Waliotolewa Kutoka Gaza.

 

Hamas Imesema Kwa Kila Mateka Wa Israel Aliyeachiliwa Huru, Wafungwa 30 Wa Kipalestina Wataachiwa Kutoka Jela Za Israel, Kama Ilivyo Katika Makubaliano Hayo.

 

Ndelemo Na Vifijo Vilivyoambatana Na Machozi Ya Furaha Vilitawala Miongoni Mwa Familia Za Kipalestina Baada Ya Kuwaona Ndugu Zao Wakiwa Hai Kwa Mara Nyingine Tangu Walipochukuliwa Kama Mateka Wa Kivita Na Israel Mwishoni Mwa Mwaka 2023.

 

Vita Vya Gaza Vilizuka Mnamo Jumamosi, 7 Oktoba 2023 Baada Ya Hamas Kuishambulia Israel Na Baadae Israel Kujibu Mapigo Hayo.

 

✍️| Kastul Elias

Related post

TIMU YA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YATINGA MANYARA NA ARUSHA

TIMU YA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA WIZARA YA MALIASILI…

10 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Na Sixmund Begashe, Arusha Timu ya wataalamu wa Ufuatiliaji na Tathmini…
HANDENI MJI YAAINISHA MIKAKATI MITANO KUIMARISHA AFUA ZA LISHE

HANDENI MJI YAAINISHA MIKAKATI MITANO KUIMARISHA AFUA ZA LISHE

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Na Mwandishi Wetu HALMASHAURI ya Mji Handeni imeainisha mikakati mitano ya…
RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *