MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI IBADA YA JUBILEI YA MIAKA 50 YA DAYOSISI YA PARE

MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI IBADA YA JUBILEI YA MIAKA 50 YA DAYOSISI YA PARE

  • Habari
  • October 19, 2025
  • No Comment
  • 9
14 / 100 SEO Score
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Askofu Dkt. Alex Malasusa wakati alipowasili Same mkoani Kilimanjaro kushiriki Ibada Maalum ya Kilele cha Jubilei ya Miaka 50 ya Kuzaliwa kwa Dayosisi ya Pare leo tarehe 19 Oktoba 2025.

   Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana Maaskofu mbalimbali wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) wakati alipowasili Same mkoani Kilimanjaro kushiriki Ibada Maalum ya Kilele cha Jubilei ya Miaka 50 ya Kuzaliwa kwa Dayosisi ya Pare leo tarehe 19 Oktoba 2025.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa na Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Askofu Dkt. Alex Malasusa wakizindua mnara wa kumbukumbu ya Jubilei ya Miaka 50 ya Kuzaliwa kwa Dayosisi ya Pare wakati wa Ibada Maalum ya Jubilei hiyo iliyofanyika Makao Makuu ya Dayosisi ya Pare, Same mkoani Kilimanjaro leo tarehe 19 Oktoba 2025.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa na Viongozi mbalimbali wakishiriki Ibada Maalum ya Kilele cha Jubilei ya Miaka 50 ya Kuzaliwa kwa Dayosisi ya Pare, Same mkoani Kilimanjaro leo tarehe 19 Oktoba 2025.

Related post

RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score
BUNGE LA 13 KUANZA RASMI KESHO JIJINI DODOMA

BUNGE LA 13 KUANZA RASMI KESHO JIJINI DODOMA

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score MKUTANO wa kwanza wa Bunge la 13 unatarajiwa kuanza rasmi kesho,…
TANZANIA YAIHAKIKISHIA DUNIA HALI YA UTALII IKO SALAMA

TANZANIA YAIHAKIKISHIA DUNIA HALI YA UTALII IKO SALAMA

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Na Mwandishi Wetu, Riyadh Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii,…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *