MAKAMU WA RAIS UFILIPINO ANUSURIKA KUONDOLEWA MADARAKANI

MAKAMU WA RAIS UFILIPINO ANUSURIKA KUONDOLEWA MADARAKANI

  • Habari
  • July 26, 2025
  • No Comment
  • 52
11 / 100 SEO Score

Makamu wa rais wa Ufilipino Sara Duterte amenusurika kuondolewa madarakani baada ya Mahakama ya juu nchini humo kutupilia mbali kesi ya kuondolewa madarakani ikisema kuwa mchakato huo ni kinyume cha katiba.

Mnamo mwezi Februari, Bunge la Ufilipino lilimuondoa madarakani Duterte kwa madai ya kutumia vibaya fedha za umma, kujilimbikizia utajiri mkubwa na kutoa vitisho vya kumuua rais wa Ufilipino Ferdinand Marcos Jr, mke wake na spika wa bunge.

 

Hata hivyo Mahakama hiyo imesema haimuondolei mashtaka Sara Durtete kwa makosa anayokabiliwa nayo.

Related post

TIMU YA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YATINGA MANYARA NA ARUSHA

TIMU YA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA WIZARA YA MALIASILI…

10 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Na Sixmund Begashe, Arusha Timu ya wataalamu wa Ufuatiliaji na Tathmini…
HANDENI MJI YAAINISHA MIKAKATI MITANO KUIMARISHA AFUA ZA LISHE

HANDENI MJI YAAINISHA MIKAKATI MITANO KUIMARISHA AFUA ZA LISHE

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Na Mwandishi Wetu HALMASHAURI ya Mji Handeni imeainisha mikakati mitano ya…
RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *