MAWAKILI WA NAVALNY WAHUKUMIWA JELA URUSI

MAWAKILI WA NAVALNY WAHUKUMIWA JELA URUSI

  • Habari
  • January 17, 2025
  • No Comment
  • 100

Mawakili Watatu Waliokua Wakimtetea Aliyekua Kiongozi Wa Upinzani Nchini Urusi Alexei Navalny Wamehukumiwa Kifungo Cha Miaka Mitatu Hadi Mitano Jela Baada Ya Kukutwa Na Hatia Ya Kujihusisha Na Kundi La Itikadi Kali.

 

Hukumu Hiyo Imetolewa Katika Mahakama Moja Nchini Urusi Ambapo Watuhumiwa Hao Walikua Jela Tangu Mwishoni Mwa Mwaka 2023.

 

Inaelezwa Kuwa Watuhumiwa Hao Vadim Kobzev, Igor Sergunin Na Alexei Lipster, Walikamatwa Mwezi Oktoba, 2023 Na Baadae Urusi Iliwaongeza Kwenye  Orodha Rasmi Ya Magaidi Na Wenye Itikadi Kali.

 

Ikumbukwe Navalny Aliyekua Akitetewa Na Mawakili Hao Watatu,, Alifariki Ghafla Akiwa Gerezani Mwezi Februari Mwaka Jana, Ambapo Pia Naye Alikutwa Na Hatia Ya Kujihusisha Na Itikadi Kali Na Mashtaka Mengine Ambayo Yote Aliyakana.

Related post

TIMU YA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YATINGA MANYARA NA ARUSHA

TIMU YA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA WIZARA YA MALIASILI…

10 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Na Sixmund Begashe, Arusha Timu ya wataalamu wa Ufuatiliaji na Tathmini…
HANDENI MJI YAAINISHA MIKAKATI MITANO KUIMARISHA AFUA ZA LISHE

HANDENI MJI YAAINISHA MIKAKATI MITANO KUIMARISHA AFUA ZA LISHE

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Na Mwandishi Wetu HALMASHAURI ya Mji Handeni imeainisha mikakati mitano ya…
RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *