MGOGORO WA MAREKANI NA CHINA WACHUKUA SURA MPYA

MGOGORO WA MAREKANI NA CHINA WACHUKUA SURA MPYA

  • Habari
  • April 17, 2025
  • No Comment
  • 92

Kufuatia mgogoro wa kibiashara na Marekani, China imepunguza ununuzi wa mafuta kutoka Marekani kwa asilimia 90 na kuanza kuagiza kiasi kikubwa cha mafuta kutoka katika Taifa la Canada.

Uagizaji wa mafuta ya Marekani kwenda China umeshuka kwa kiasi kikubwa kutoka mapipa milioni 29 mwezi Juni, 2024 hadi milioni 3 mwezi huu.

Mvutano wa kibiashara kati ya mataifa haya mawili ulizuka baada ya Rais wa Marekani kutangaza kuweka kodi katika bidhaa zinazoingizwa nchini humo kutoka China lakini umeingia katika siku mbaya baada ya Trump kuongeza kodi hiyo hadi asilimia 245 kwa bidhaa zote za Uchina.

Related post

TIMU YA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YATINGA MANYARA NA ARUSHA

TIMU YA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA WIZARA YA MALIASILI…

10 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Na Sixmund Begashe, Arusha Timu ya wataalamu wa Ufuatiliaji na Tathmini…
HANDENI MJI YAAINISHA MIKAKATI MITANO KUIMARISHA AFUA ZA LISHE

HANDENI MJI YAAINISHA MIKAKATI MITANO KUIMARISHA AFUA ZA LISHE

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Na Mwandishi Wetu HALMASHAURI ya Mji Handeni imeainisha mikakati mitano ya…
RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *