MOALIN AIPIGA CHINI YANGA SC

MOALIN AIPIGA CHINI YANGA SC

  • Michezo
  • July 26, 2025
  • No Comment
  • 52
13 / 100 SEO Score

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Ufundi na Kocha Msaidizi wa Klabu ya Yanga SC  hatokuwa sehemu ya kikosi cha Wananchi msimu ujao baada ya mkataba wake na Yanga kumatamatika.

 

Moalin alijiunga na Yanga akitokea KMC katikati ya msimu uliopita ameujulisha uongozi wa Yanga juu ya dhamira yake ya kutoongeza mkataba huku klabu hiyo ikibariki matakwa hayo baada ya kocha mpya Romain Folz kuhitaji kuwa na benchi lake binafsi.

 

Taarifa zinaeleza kuwa Moalin na aliyekuwa mchambuzi wa video (video analyst) wanatarajiwa kujiunga na CR Belouizidad inayonolewa na aliyekuwa kocha wa Yanga Sc Sead Ramovic.

Related post

RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score
BUNGE LA 13 KUANZA RASMI KESHO JIJINI DODOMA

BUNGE LA 13 KUANZA RASMI KESHO JIJINI DODOMA

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score MKUTANO wa kwanza wa Bunge la 13 unatarajiwa kuanza rasmi kesho,…
TANZANIA YAIHAKIKISHIA DUNIA HALI YA UTALII IKO SALAMA

TANZANIA YAIHAKIKISHIA DUNIA HALI YA UTALII IKO SALAMA

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Na Mwandishi Wetu, Riyadh Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii,…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *