MOTSEPE ACHAGULIWA TENA KUIONGOZA CAF

MOTSEPE ACHAGULIWA TENA KUIONGOZA CAF

  • Michezo
  • March 12, 2025
  • No Comment
  • 94

Dr Patrice Motsepe amechaguliwa tena kuwa Rais wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF), kwa mara ya pili mfululizo.

Motsepe ataliongoza tena shirikisho hilo kwa kipindi cha miaka minne kuanzia sasa ambapo mhula wake wa Urais utatamatika mwaka 2029.

Baada ya kuchaguliwa, Motsepe amewashukuru wajumbe na kusema atahakikisha analiongoza shirikisho hilo kwa mafanikio makubwa katika kipindi hiki cha miaka minne.

DOHA, QATAR – APRIL 01: CAF President Patrice Motsepe poses prior the FIFA World Cup Qatar 2022 Final Draw at Doha Exhibition Center on April 1, 2022 in Doha, Qatar. (Photo by Marcio Machado/Eurasia Sport Images/Getty Images)

Related post

RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score
BUNGE LA 13 KUANZA RASMI KESHO JIJINI DODOMA

BUNGE LA 13 KUANZA RASMI KESHO JIJINI DODOMA

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score MKUTANO wa kwanza wa Bunge la 13 unatarajiwa kuanza rasmi kesho,…
TANZANIA YAIHAKIKISHIA DUNIA HALI YA UTALII IKO SALAMA

TANZANIA YAIHAKIKISHIA DUNIA HALI YA UTALII IKO SALAMA

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Na Mwandishi Wetu, Riyadh Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii,…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *