P. DIDDY NA JAY – Z WAFUTIWA MASHITAKA MAREKANI

P. DIDDY NA JAY – Z WAFUTIWA MASHITAKA MAREKANI

  • Burudani
  • February 15, 2025
  • No Comment
  • 111

Rapa Sean Diddy Combs maarufu kama P Diddy na mwenzake Jay – Z wamefutiwa mashitaka ya ubakaji yaliyokuwa yakiwakabili, baada ya mwanamke aliyewashtaki kwahiari yake kuondoa kesi hiyo mahakamani.

 

Mwanamke huyo aliyejulikana kwa jina la Jane Done aliwasilisha mahakamani kesi hiyo akidai kuwa alifanyiwa mkasa huo miaka 25 iliyopita na P. Diddy baada ya tafrija ya Tuzo za Muziki za MTV mwaka 2000, akiwa na umri wa miaka 13.

 

Lakini baadae pia Done alimwongeza rapa Jay – Z akidai kuwa nay eye siku ya tukio alikuwepo na kwamba alihusika katika kumdunga dawa za kulevya na baadae kumfanyia tukio la ubakaji.

Related post

TIMU YA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YATINGA MANYARA NA ARUSHA

TIMU YA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA WIZARA YA MALIASILI…

10 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Na Sixmund Begashe, Arusha Timu ya wataalamu wa Ufuatiliaji na Tathmini…
HANDENI MJI YAAINISHA MIKAKATI MITANO KUIMARISHA AFUA ZA LISHE

HANDENI MJI YAAINISHA MIKAKATI MITANO KUIMARISHA AFUA ZA LISHE

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Na Mwandishi Wetu HALMASHAURI ya Mji Handeni imeainisha mikakati mitano ya…
RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *