PICHA: RAIS SAMIA USO KWA USO NA FREEMAN MBOWE UZINDUZI DIRA 2050
- Habari
- July 17, 2025
- No Comment
- 37
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mwenyekiti Mstaafu wa Chadema Mhe. Freeman Mbowe mara baada ya kuzindua Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 katika ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete (JKCC) Jijini Dodoma tarehe 17 Julai, 2025. Soma zaidi HAPA



