SIMBA SC NA RATIBA NGUMU YA NBC

SIMBA SC NA RATIBA NGUMU YA NBC

  • Michezo
  • April 29, 2025
  • No Comment
  • 74

Wekundu wa Msimbazi, Simba SC watakuwa na kazi nzito ya kuhakikisha wanajiweka katika nafasi nzuri ya kutwaa ubingwa wa NBC msimu huu kabla ya kusafiri kwenda kucheza fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya wenyeji wa RS Berkane.

Simba watapaswa kucheza michezo minne ya Ligi Kuu ya NBC ndani ya siku 10 na kisha watakuwa na siku kadhaa za mandalizi ya mchezo wa fainali ya kwanza itakayochezwa nchini Morocco.

Ijumaa ya Mei 02, 2025, Simba watakuwa katika dimba la KMC Complex, Dar es Salaam kukipiga na Mashujaa FC huku michezo mingine ikiwa kama ifuatavyo.

Mei 05, 2025
JKT Tanzania 🆚 Simba (Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo) Dar es Salaam.

Mei 08, 2025
Simba SC 🆚 Pamba Jiji FC (Uwanja wa KMC Complex) Dar es Salaam.

Mei 11, 2025
KMC 🆚 Simba SC (Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi) Tabora.

Related post

TIMU YA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YATINGA MANYARA NA ARUSHA

TIMU YA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA WIZARA YA MALIASILI…

10 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Na Sixmund Begashe, Arusha Timu ya wataalamu wa Ufuatiliaji na Tathmini…
HANDENI MJI YAAINISHA MIKAKATI MITANO KUIMARISHA AFUA ZA LISHE

HANDENI MJI YAAINISHA MIKAKATI MITANO KUIMARISHA AFUA ZA LISHE

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Na Mwandishi Wetu HALMASHAURI ya Mji Handeni imeainisha mikakati mitano ya…
RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *