SIMBA YASHIRIKI UZINDUZI WA SAFARI ZA NDEGE MTWARA

SIMBA YASHIRIKI UZINDUZI WA SAFARI ZA NDEGE MTWARA

  • Michezo
  • February 17, 2025
  • No Comment
  • 105

Uongozi wa Klabu ya Simba pamoja na wachezaji wameshiriki katika uzinduzi wa safari za Shirika la Ndege la Air Tanzania kwenda mkoani Mtwara.

 

Simba imeshiriki uzinduzi huo muda mchache kabla ya kuelekea Ruangwa Lindi kuwakabili Namungo FC katika mchezo wa NBC utakaochezwa jumatano ya Februari 19, 2025 majira ya saa 18:30 jioni katika dimba la Majaliwa.

 

Uzinduzi huo umeongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Abdallah Mwaipaya na ulifanyika katika Uwanja wa Ndege wa Mtwara.

✍️| Kastul Elias

Related post

TIMU YA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YATINGA MANYARA NA ARUSHA

TIMU YA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA WIZARA YA MALIASILI…

10 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Na Sixmund Begashe, Arusha Timu ya wataalamu wa Ufuatiliaji na Tathmini…
HANDENI MJI YAAINISHA MIKAKATI MITANO KUIMARISHA AFUA ZA LISHE

HANDENI MJI YAAINISHA MIKAKATI MITANO KUIMARISHA AFUA ZA LISHE

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Na Mwandishi Wetu HALMASHAURI ya Mji Handeni imeainisha mikakati mitano ya…
RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *