TRUMP KULA SAHANI MOJA NA WALIOBADILI JINSIA JESHINI

TRUMP KULA SAHANI MOJA NA WALIOBADILI JINSIA JESHINI

  • Habari
  • January 28, 2025
  • No Comment
  • 110

Rais Wa Marekani Donald Trump Ametia Saini Amri Ya Kurekebisha Sera Jumuishi Ya Wizara Ya Ulinzi, Hatua Inayolenga Kuwazuia Watu Waliobadili Jinsia Kuhudumu Katika Jeshi La Marekani.

 

Rais Trump Ambaye Alijaribu Kuchukua Uamuzi Kama Huo Wakati Wa Muhula Wake Wa Kwanza Lakini Akakabiliwa Na Vikwazo Vya Kisheria, Amesema Hatua Hiyo Itahakikisha Marekani Inakuwa Na Jeshi Imara Zaidi Duniani.

 

Hatua Hii Inapingwa Na Wanaharakati Wa Jamii Za Watu Wanaoshiriki Mapenzi Ya Jinsia Moja Ambao Wanaiona Kama Ukiukwaji Wa Haki Za Binaadamu.

✍️| Kastul Elias

Related post

TIMU YA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YATINGA MANYARA NA ARUSHA

TIMU YA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA WIZARA YA MALIASILI…

10 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Na Sixmund Begashe, Arusha Timu ya wataalamu wa Ufuatiliaji na Tathmini…
HANDENI MJI YAAINISHA MIKAKATI MITANO KUIMARISHA AFUA ZA LISHE

HANDENI MJI YAAINISHA MIKAKATI MITANO KUIMARISHA AFUA ZA LISHE

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Na Mwandishi Wetu HALMASHAURI ya Mji Handeni imeainisha mikakati mitano ya…
RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *