TUNDU LISSU AFIKISHWA MAHAKAMANI KESI YA UHAINI

TUNDU LISSU AFIKISHWA MAHAKAMANI KESI YA UHAINI

  • Habari
  • May 19, 2025
  • No Comment
  • 68

Mwenyekiti wa CHADEMA – Taifa, Tundu Lissu amefikishwa Mahakama ya Mkazi Kisutu, leo Mei 19, 2025 kwa ajili ya kesi kusikiliza kesi mbili zinazomkabili ambapo viongozi kadhaa wa chama hicho nao wamefika kufuatilia

Ikumbukwe Mei 6, 2025 mchakato wa kesi hiyo uliendeshwa kwa njia ya Mtandao ambapo Mahakama ilitoa uamuzi wa kesi hiyo kusikilizwa leo na kuruhusu Wananchi kuhudhuria

Aidha, Jaji Mkuu Mstaafu wa Kenya, Willy Mutunga na baadhi ya Waandishi wa Habari na Wanasiasa kutoka Kenya waliosafiri kufuatilia kesi hii inadaiwa wameshikiliwa kwenye Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere tangu Saa 9 Usiku

Related post

TIMU YA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YATINGA MANYARA NA ARUSHA

TIMU YA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA WIZARA YA MALIASILI…

10 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Na Sixmund Begashe, Arusha Timu ya wataalamu wa Ufuatiliaji na Tathmini…
HANDENI MJI YAAINISHA MIKAKATI MITANO KUIMARISHA AFUA ZA LISHE

HANDENI MJI YAAINISHA MIKAKATI MITANO KUIMARISHA AFUA ZA LISHE

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Na Mwandishi Wetu HALMASHAURI ya Mji Handeni imeainisha mikakati mitano ya…
RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *