URUSI YAVURUMISHA MVUA YA MAKOMBORA UKRAINE

URUSI YAVURUMISHA MVUA YA MAKOMBORA UKRAINE

  • Habari
  • July 28, 2025
  • No Comment
  • 35
13 / 100 SEO Score

Jeshi la Ukraine limeripoti kuwa Urusi imeushambulia kwa kwa kutumia droni mji wake wa Kiev karibu na mji mkuu wa Kyiv, kwa mjibu wa jeshi hilo, mashambulizi ya sasa ya Urusi yanalenga kuuzingira mkoa wa mashariki wa Ukraine wa Pokrovsk, ambao Urusi ilijaribu kuutwaa hapo awali lakini ikashindikana.

 

Jeshi la Ukraine liliwasha ving’ora vya tahadhari kwenye maeneo mengi ya nchi hiyo kufuatia mashambulizi hayo makubwa ya droni yaliyofanywa na Urusi usiku wa kuamkia Jumatatu ya Julai 28, 2025.

 

Wakati huo, Watu watatu wameripotiwa kupoteza maisha katika mkoa wa Sumy nchini Ukraine, baada ya basi walilokuwa wakilitumia kusafiri kushambuliwa kwa bomu huku abiria wengine 20 wakiripotiwa kujeruhiwa.

 

Mashambulizi hayo ya Urusi yanajiri wakati ambao Rais Vladimir Putin ametangaza kulifanyia marekebisho makubwa jeshi la majini la nchi yake ili kulipa uwezo wa kufanya mashambulizi jeshi hilo.

Related post

TIMU YA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YATINGA MANYARA NA ARUSHA

TIMU YA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA WIZARA YA MALIASILI…

10 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Na Sixmund Begashe, Arusha Timu ya wataalamu wa Ufuatiliaji na Tathmini…
HANDENI MJI YAAINISHA MIKAKATI MITANO KUIMARISHA AFUA ZA LISHE

HANDENI MJI YAAINISHA MIKAKATI MITANO KUIMARISHA AFUA ZA LISHE

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Na Mwandishi Wetu HALMASHAURI ya Mji Handeni imeainisha mikakati mitano ya…
RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *