WAHAMIAJI HARAMU 956 WAKAMATWA MAREKANI

WAHAMIAJI HARAMU 956 WAKAMATWA MAREKANI

  • Habari
  • January 28, 2025
  • No Comment
  • 40

Msako Mkali Uliofanywa Na Maafisa Wa Polisi Nchini Marekani Siku Ya Jumapili Dhidi Ya Wahamiaji Wasio Na Vibali Umekamata Watu 956 Ikiwa Ni Idadi Kubwa Zaidi Tangu Rais Donald Trump Arejee Madarakani.

 

Wahamiaji Hao Wasio Na Vibali Walikamatwa Katika Miji Kadhaa Nchini Humo Ikiwemo Chicago, Newark Na Miami.

 

Ikumbukwe Rais Wa Sasa Wa Marekani Donald Trump Wakati Akiapishwa Siku Kadhaa Zilizopita Alisema Kuwa Atwaondoa Wahamiaji Wote Wasio Na Vibali Nchini Marekani Na Kuwarudisha Makwao

✍️| Kastul Elias

Related post

3,077 WAJITOKEZA KUPATA HUDUMA ZA KIBINGWA KAGERA

3,077 WAJITOKEZA KUPATA HUDUMA ZA KIBINGWA KAGERA

Wananchi wapatao 3,077 wamejitokeza mkoani Kagera na kumenufaika na matibabu ya Kibingwa yaliyotolewa na Madaktari Bingwa wa Rais Dkt. Samia iliyofikia…
PAPA LEO XIV AONGOZA MISA YAKWANZA AKIWA PAPA

PAPA LEO XIV AONGOZA MISA YAKWANZA AKIWA PAPA

Kiongozi mpya wa kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV, leo ameongoza ibada ya kwanza ya misa, ikiwa ni masaa machache yamepita…
AHOUA ANAONGOZA MBIO ZA MFUNGAJI BORA MSIMU HUU

AHOUA ANAONGOZA MBIO ZA MFUNGAJI BORA MSIMU HUU

Kiungo Mshambuliaji wa Simba SC, Jean Charles Ahoua amezidi kujiweka katika nafasi nzuri kuelekea katika mbio za kutwaa kiatu cha mfungaji…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *