WANAHABARI TENGENEZENI AJENDA ZA KUIJENGA JAMII – MAKONDA

WANAHABARI TENGENEZENI AJENDA ZA KUIJENGA JAMII – MAKONDA

  • Habari
  • April 29, 2025
  • No Comment
  • 60

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda amesema Wanahabari wana uwezo mkubwa wa kutengeneza ajenda ya kuwafanya Wananchi wote waelekeze Mawazo yao katika jambo fulani

 

Makonda ameyasema hayo leo April 29, 2025 wakati akizungumza katika Maadhimisho ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani ambayo yanaendelea jijini Arusha.

“Ningekuwa na uwezo ningewashawishi watusaidie kwa nguvu zao zote kubadilisha aina ya Habari zinazosikika kwa Wananchi, Habari ina nguvu kubwa sana, inaamua aina ya chakula, mavazi na kila kitu.”

 

Makonda ameongeza kuwa Wanahabari wakiamua wataisaidia serikali kutengeneza mwelekeo wa Habari za kiuchumi na za kimaendeleo kwaajili ya ustawi wa jamii yote ya Watanzania.

Related post

RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score
BUNGE LA 13 KUANZA RASMI KESHO JIJINI DODOMA

BUNGE LA 13 KUANZA RASMI KESHO JIJINI DODOMA

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score MKUTANO wa kwanza wa Bunge la 13 unatarajiwa kuanza rasmi kesho,…
TANZANIA YAIHAKIKISHIA DUNIA HALI YA UTALII IKO SALAMA

TANZANIA YAIHAKIKISHIA DUNIA HALI YA UTALII IKO SALAMA

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Na Mwandishi Wetu, Riyadh Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii,…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *