WASIOJULIKANA WAFUKUA KABURI NA KUKATA KICHWA CHA MAREHEMU

WASIOJULIKANA WAFUKUA KABURI NA KUKATA KICHWA CHA MAREHEMU

  • Habari
  • July 20, 2025
  • No Comment
  • 47
10 / 100 SEO Score

Mwili wa marehemu, ambaye alikua ni mzee wa miaka 85 aliyefahamika kwa jina la Mohammed Mjaila ambao ulikua umezikwa miezi miwili iliyopita katika kijiji Mgela wilayani Kilindi mkoani Tanga, umekutwa umefukuliwa na kisha kukatwa kichwa na watu wasiojulikana.

Wananchi wa Kijiji hicho wamesema wamesikitishwa na tukio hilo na kulihusisha na Imani za kishirikina huku wakiliomba jeshi la polisi kuhakikisha linawakamata watu wote waliohusika na tukio hilo na kuwachukulia hatua kali.

Akizungumza kwa njia ya simu, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Almachius Mchunguzi, amesema kuwa wanaendelea na uchunguzi wa tukio hilo, huku akibainisha kuwa hali ni shwari na wananchi wanaendelea na shughuli zao kama kawaida.

Related post

TIMU YA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YATINGA MANYARA NA ARUSHA

TIMU YA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA WIZARA YA MALIASILI…

10 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Na Sixmund Begashe, Arusha Timu ya wataalamu wa Ufuatiliaji na Tathmini…
HANDENI MJI YAAINISHA MIKAKATI MITANO KUIMARISHA AFUA ZA LISHE

HANDENI MJI YAAINISHA MIKAKATI MITANO KUIMARISHA AFUA ZA LISHE

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Na Mwandishi Wetu HALMASHAURI ya Mji Handeni imeainisha mikakati mitano ya…
RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *