WATU 15 WAFARIKI KWENYE MLIPUKO WA BOMU SYRIA

WATU 15 WAFARIKI KWENYE MLIPUKO WA BOMU SYRIA

  • Habari
  • February 3, 2025
  • No Comment
  • 102

Bomu Lililokuwa Limetegwa Kwenye Gari Limeripuka Na Kusababisha Vifo Vya Watu Wasiopungua 15 Kwenye Mji Wa Manbij,Kaskazini Mwa Syria.

 

Shirika La Habari La Taifa SANA Limeripoti Kuwa, Bomu Hilo La Kutegwa Lililipuka Karibu Na Gari Lilokua Limebeba Wafanyakazi Wa Mashambani Na Kuwaua Papo Hapo Wanawake 14 Na Mwanaume Mmoja

 

Huku Duru Zingine Za Habari Zikiripoti Kuwa Wanawake 18 Na Mwanaume Mmoja Ndiyo Wameuawa Katika Mkasa Huo.

 

Mashambulizi Ya Mara Kwa Mara Yamekuwa Yakishuhudiwa Katika Mji Wa Manbij Uliopo Kaskazini Mashariki Mwa Jimbo La Allepo Baada Ya Kuangushwa Kwa Utawala Wa Muda Mrefu Wa Rais Bashar Al-Assad Mnamo Mwezi Disemba, Huku Hakuna Kundi Lililodai Kuhusika Na Shambulizi Hilo.

✍️| Kastul Elias

Related post

TIMU YA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YATINGA MANYARA NA ARUSHA

TIMU YA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA WIZARA YA MALIASILI…

10 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Na Sixmund Begashe, Arusha Timu ya wataalamu wa Ufuatiliaji na Tathmini…
HANDENI MJI YAAINISHA MIKAKATI MITANO KUIMARISHA AFUA ZA LISHE

HANDENI MJI YAAINISHA MIKAKATI MITANO KUIMARISHA AFUA ZA LISHE

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Na Mwandishi Wetu HALMASHAURI ya Mji Handeni imeainisha mikakati mitano ya…
RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *