WATU 44 WAUWAWA KATIKA SHAMBULIO NIGERIA

WATU 44 WAUWAWA KATIKA SHAMBULIO NIGERIA

  • Habari
  • May 27, 2025
  • No Comment
  • 47

Takriban watu 44 wameuawa katika mashambulizi tofauti yaliyotokea katika siku za hivi karibuni  katika jimbo la Benue ,katikati mwa Nigeria.

 

Afisaa wa serikali ya mitaa alieleza Jumanne, akithibitisha ongezeko la idadi ya vifo katika mashambulizi ya hivi karibuni katika eneo linalokumbwa mara kwa mara na migogoro kati ya wafugaji na wakulima.

 

Mashambulizi hayo yalitokea katika vijiji vitatu kati ya Ijumaa na Jumatatu, kwa mujibu wa mwenyekiti wa halmashauri ya eneo la Gwer West katika jimbo la Benue, Ormin Torsar Victor, aliyeliambia shirika la habari la AFP.

Related post

TIMU YA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YATINGA MANYARA NA ARUSHA

TIMU YA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA WIZARA YA MALIASILI…

10 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Na Sixmund Begashe, Arusha Timu ya wataalamu wa Ufuatiliaji na Tathmini…
HANDENI MJI YAAINISHA MIKAKATI MITANO KUIMARISHA AFUA ZA LISHE

HANDENI MJI YAAINISHA MIKAKATI MITANO KUIMARISHA AFUA ZA LISHE

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Na Mwandishi Wetu HALMASHAURI ya Mji Handeni imeainisha mikakati mitano ya…
RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *