YANGA MABINGWA WA KOMBE LA MUUNGANO 2025

YANGA MABINGWA WA KOMBE LA MUUNGANO 2025

  • Habari
  • May 1, 2025
  • No Comment
  • 78

Vinara wa Ligi Kuu ya NBC, Klabu ya Yanga imetwaa ubingwa wa michuano ya kombe la Muungano baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 mbele ya JKU katika mchezo uliochezwa katika uwanja wa Gombani Zanzibar.

 

Bao pekee lililowapa Yanga ubingwa liliwekwa wavuni na Maxi Mpia kipindi cha kwanza na bao hilo kudumu hadi dakika 90 za mchezo huo ambao kwa dakika zote 90 ulikuwa umeghubikwa na mvua iliyokuwa ikinyesha kwa wakati wote.

 

Taji hilo linaifanya Yanga kufikisha idadi ya mataji saba katika michuano hiyo tangu kuanzishwa kwake wakiwaacha ndugu zao Simba SC ambao wamebeba taji hilo mara sita.

Related post

TIMU YA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YATINGA MANYARA NA ARUSHA

TIMU YA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA WIZARA YA MALIASILI…

10 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Na Sixmund Begashe, Arusha Timu ya wataalamu wa Ufuatiliaji na Tathmini…
HANDENI MJI YAAINISHA MIKAKATI MITANO KUIMARISHA AFUA ZA LISHE

HANDENI MJI YAAINISHA MIKAKATI MITANO KUIMARISHA AFUA ZA LISHE

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Na Mwandishi Wetu HALMASHAURI ya Mji Handeni imeainisha mikakati mitano ya…
RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

RAIS SAMIA ATEUA WABUNGE SITA

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *