WAUWAWA KATIKA MAJIBIZANO YA RISASI NA POLISI KIGOMA

WAUWAWA KATIKA MAJIBIZANO YA RISASI NA POLISI KIGOMA

  • Habari
  • August 1, 2025
  • No Comment
  • 35
11 / 100 SEO Score

Watu watatu wanaosadikika kuwa ni majambazi wameuawa katika majibizano na askari wa Jeshi la Polisi baada ya kunaswa wakijaribu kuteka magari ya abiria yanayotoka Kigoma kuelekea mikoa mingine.


Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kigoma, ACP Filemon Makungu, amesema majambazi hao walikuwa wakilenga kuwapora maki abiria mbalimbali zikiwemo simu, fedha taslimu na vitu vingine vya thamani, kabla ya kuingia kwenye mtego wa polisi.

Tukio hilo limetokea katika Kijiji cha Kigendeka, Wilaya ya Kibondo, mkoani Kigoma ambapo taarifa ya Jeshi la Polisi imeongeza kuwa, silaha mbili zimekamatwa katika tukio hilo, ikiwemo bunduki aina ya AK-47 na nyingine ya kutengenezwa kienyeji, ambazo majambazi walikuwa wakizitumia kutekeleza uhalifu wao.

Related post

SERIKALI YAPANGA KUIMARISHA UBORA NA USALAMA WA  CHAKULA

SERIKALI YAPANGA KUIMARISHA UBORA NA USALAMA WA  CHAKULA

16 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Suleiman Serera,akizungumza…
RAS ARUSHA: MAFUNZO YA PPRA YATAONDOA UWEZEKANO WA KUPATA HASARA

RAS ARUSHA: MAFUNZO YA PPRA YATAONDOA UWEZEKANO WA KUPATA…

11 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katibu Tawala Mkoa wa Arusha, Bw. Missaile Musa amesema mafunzo yanayotolewa…
BIL 527 ZATEKELEZA MIRADI 13 YA TANROADS TABORA-ENG MLIMAJI

BIL 527 ZATEKELEZA MIRADI 13 YA TANROADS TABORA-ENG MLIMAJI

16 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *