IRINGA YAMPA TANO DKT. SAMIA

IRINGA YAMPA TANO DKT. SAMIA

  • Habari
  • September 7, 2025
  • No Comment
  • 20
17 / 100 SEO Score

Mgombea wa Nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Iringa katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu kwa Chama hicho zilizofanyika katika uwanja wa Samora mkoani Iringa tarehe 07 Septemba, 2025.

Na Mwandishi Wetu, Iringa

MAELFU ya wananchi wa Iringa leo Septemba 7, 2025 wameonesha hamasa na kumuunga mkono Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika mkutano wa kampeni uliofanyika Uwanja wa Samora.

Wananchi hao walijitokeza kwa wingi, wakipokea kwa shangwe hotuba ya Dkt. Samia iliyolenga kuendeleza utekelezaji wa miradi ya maendeleo, kuongeza ajira kwa vijana, kuimarisha vyama vya ushirika na kuboresha mazingira ya wajasiriamali wadogo.

Mapokezi hayo yameelezwa na wachambuzi wa siasa kama ishara ya dhahiri ya imani ya wananchi wa Iringa kwa Dkt. Samia na chama chake kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.

Mgombea wa Nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Iringa katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu kwa Chama hicho zilizofanyika katika uwanja wa Samora mkoani Iringa tarehe 07 Septemba, 2025.

Matukio mbalimbali katika mkutano wa hadhara wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) uliofanyika katika uwanja wa Samora mkoani Iringa tarehe 07 Septemba, 2025.

Related post

SERIKALI YAPANGA KUIMARISHA UBORA NA USALAMA WA  CHAKULA

SERIKALI YAPANGA KUIMARISHA UBORA NA USALAMA WA  CHAKULA

16 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Suleiman Serera,akizungumza…
RAS ARUSHA: MAFUNZO YA PPRA YATAONDOA UWEZEKANO WA KUPATA HASARA

RAS ARUSHA: MAFUNZO YA PPRA YATAONDOA UWEZEKANO WA KUPATA…

11 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katibu Tawala Mkoa wa Arusha, Bw. Missaile Musa amesema mafunzo yanayotolewa…
BIL 527 ZATEKELEZA MIRADI 13 YA TANROADS TABORA-ENG MLIMAJI

BIL 527 ZATEKELEZA MIRADI 13 YA TANROADS TABORA-ENG MLIMAJI

16 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *