MAJALIWA AZINDUA KAMPENI ZA UBUNGE JIMBO LA MCHINGA

MAJALIWA AZINDUA KAMPENI ZA UBUNGE JIMBO LA MCHINGA

  • Habari
  • September 7, 2025
  • No Comment
  • 22
13 / 100 SEO Score

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi mkoa wa Lindi Alhaji Hassan Jarufu, Mgombea ubunge jimbo la Mchinga Salma Kikwete pamoja na Rais Mstaafu wa Awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na Mgombea Ubunge jimbo la Mtama Nape Nnauye, wakati alipozindua kampeni za Ubunge jimbo la Mchinga zilizofanyika katika kijiji cha Rutamba mkoani Lindi, Septembea 07, 2025 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Baadhi ya wananchi wakifuatilia uzunduzi wa kampeni ya ubunge wa jimbo la Mchinga zilizofanyika katika kijiji cha Rutamba mkoani Lindi. Mheshimiwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alikuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa kampeni hizo, Septembea 07, 2025 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Rais Mstaafu wa Awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho wakati alipozindua kampeni za Ubunge jimbo la Mchinga zilizofanyika katika kijiji cha Rutamba mkoani Lindi, Septembea 07, 2025 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Related post

SERIKALI YAPANGA KUIMARISHA UBORA NA USALAMA WA  CHAKULA

SERIKALI YAPANGA KUIMARISHA UBORA NA USALAMA WA  CHAKULA

16 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Suleiman Serera,akizungumza…
RAS ARUSHA: MAFUNZO YA PPRA YATAONDOA UWEZEKANO WA KUPATA HASARA

RAS ARUSHA: MAFUNZO YA PPRA YATAONDOA UWEZEKANO WA KUPATA…

11 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katibu Tawala Mkoa wa Arusha, Bw. Missaile Musa amesema mafunzo yanayotolewa…
BIL 527 ZATEKELEZA MIRADI 13 YA TANROADS TABORA-ENG MLIMAJI

BIL 527 ZATEKELEZA MIRADI 13 YA TANROADS TABORA-ENG MLIMAJI

16 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *