DKT.NCHIMBI ACHANJA MBUGA KUZISAKA KURA ZA USHINDI WA KISHINDO WA CCM TANGA.

DKT.NCHIMBI ACHANJA MBUGA KUZISAKA KURA ZA USHINDI WA KISHINDO WA CCM TANGA.

  • Habari
  • September 16, 2025
  • No Comment
  • 27
19 / 100 SEO Score

Mgombea Mwenza wa kiti cha Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi leo Jumanne Septemba 16,2025 ameendelea na mikutano yake ya Kampeni za kusaka kura za ushindi akianzia kufanya mkutano katika viwanja vya Bokwa Wilaya ya Kilindi,na baadae akaelekea wilaya ya Muheza na kuwahutubia Wananchi katika uwanja wa Jitegemee,mkoani Tanga.

Akiwa katika mikutano hiyo ya kampeni,Dkt.Nchimbi ambae ni Mgombea Mwenza wa Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan,pia alitumia nafasi hiyo ya kuwanadi Wagombea Ubunge na Madiwani wa mkoa huo.

Dkt. Nchimbi anahitimisha kampeni zake leo ndani ya wilaya ya Mkinga Mkoa wa Tanga huku akinadi Sera na Ilani ya chama hicho 2025-2030 kwa Wananchi, ikiwa ni katika harakati za kuomba ridhaa ya Watanzania kuwaongoza katika awamu nyingine ya miaka mitano, katika Uchaguzi mkuu unaotarajiwa Kufanyika Oktoba 29, 2025



Related post

RAS ARUSHA: MAFUNZO YA PPRA YATAONDOA UWEZEKANO WA KUPATA HASARA

RAS ARUSHA: MAFUNZO YA PPRA YATAONDOA UWEZEKANO WA KUPATA…

11 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katibu Tawala Mkoa wa Arusha, Bw. Missaile Musa amesema mafunzo yanayotolewa…
BIL 527 ZATEKELEZA MIRADI 13 YA TANROADS TABORA-ENG MLIMAJI

BIL 527 ZATEKELEZA MIRADI 13 YA TANROADS TABORA-ENG MLIMAJI

16 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita…
DC NYAMWESE: MIL. 530/- KUJENGA WODI MPYA YA WAZAZI HOSPITALI YA HANDENI MJI

DC NYAMWESE: MIL. 530/- KUJENGA WODI MPYA YA WAZAZI…

14 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score ‎ ‎Na Job Karongo, Handeni TC ‎Mkuu wa Wilaya ya Handeni,…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *