DKT NCHIMBI “UZALISHAJI MAJI ‘ILALA’ KUFIKIA LITA MILIONI 845” | AHIMIZA WANANCHI KUTIKI IFIKAPO OKTOBA 29

DKT NCHIMBI “UZALISHAJI MAJI ‘ILALA’ KUFIKIA LITA MILIONI 845” | AHIMIZA WANANCHI KUTIKI IFIKAPO OKTOBA 29

  • Habari
  • September 30, 2025
  • No Comment
  • 26
10 / 100 SEO Score

Mgombea mwenza wa kiti cha Urais kupitia CCM, Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi amesema kwamba Serikali ijayo ya Dkt. Samia Suluhu Hassan imenuia kwa dhati kuongeza uzalishaji wa Maji katika Wilaya ya Ilala kutoka ujazo wa lita takribani M
milioni 273 hadi kufikia ujazo wa lita milioni 845.

Dkt Nchimbi ametoa kauli hiyo leo Septemba 30, 2025 Jijini Dar es Salaam katika Jimbo la Ukonga, Wilaya ya Ilala katika mwendelezo wa mikutano ya K
kampeni za Urais kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29 mwaka huu.

“Nataka niwaambie ndugu zangu wana Ilala, hiyo ndio ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ya 2025-2030 ilivyojipanga kuondoa changamoto ya maji kwa Wakazi wa Ilala na Vitongoji vyake katika majimbo ya Ukonga na Segerea, ambapo Ongezeko hilo ni zaidi ya mara nne, kwa hiyo niwaombe tuendelee kuiunga mkono CCM ili iweze kutimiza ahadi zake kwa wananchi” amesema Dkt Nchimbi.

Related post

SERIKALI YAPANGA KUIMARISHA UBORA NA USALAMA WA  CHAKULA

SERIKALI YAPANGA KUIMARISHA UBORA NA USALAMA WA  CHAKULA

16 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Suleiman Serera,akizungumza…
RAS ARUSHA: MAFUNZO YA PPRA YATAONDOA UWEZEKANO WA KUPATA HASARA

RAS ARUSHA: MAFUNZO YA PPRA YATAONDOA UWEZEKANO WA KUPATA…

11 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katibu Tawala Mkoa wa Arusha, Bw. Missaile Musa amesema mafunzo yanayotolewa…
BIL 527 ZATEKELEZA MIRADI 13 YA TANROADS TABORA-ENG MLIMAJI

BIL 527 ZATEKELEZA MIRADI 13 YA TANROADS TABORA-ENG MLIMAJI

16 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *