UFAULU WAONGEZEKA KWA 3% MATOKEO KIDATO CHA NNE

UFAULU WAONGEZEKA KWA 3% MATOKEO KIDATO CHA NNE

  • Habari
  • January 23, 2025
  • No Comment
  • 88

Baraza La Mitihani La Tanzania (NECTA) Limetangaza Matokeo Ya Kidato Cha Nne Kwa Mwaka 2024, Ambapo Jumla Ya Watahiniwa 477,262 Kati Ya 516,695 Waliofanya Mitihani Hiyo Wamefaulu Kwa Kupata Madaraja Ya I, II, III Na IV.

 

Taarifa Ya NECTA Imesema Kuwa Ufaulu Huo Umepanda Kwa Asilimia 3, Hivyo Kufikia Asilimia 92.37 Kutoka Asilimia 89.36 Mwaka 2023.

✍️| Kastul Elias

 

#bmtvtanzania

 

Related post

RAS ARUSHA: MAFUNZO YA PPRA YATAONDOA UWEZEKANO WA KUPATA HASARA

RAS ARUSHA: MAFUNZO YA PPRA YATAONDOA UWEZEKANO WA KUPATA…

11 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katibu Tawala Mkoa wa Arusha, Bw. Missaile Musa amesema mafunzo yanayotolewa…
BIL 527 ZATEKELEZA MIRADI 13 YA TANROADS TABORA-ENG MLIMAJI

BIL 527 ZATEKELEZA MIRADI 13 YA TANROADS TABORA-ENG MLIMAJI

16 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita…
DC NYAMWESE: MIL. 530/- KUJENGA WODI MPYA YA WAZAZI HOSPITALI YA HANDENI MJI

DC NYAMWESE: MIL. 530/- KUJENGA WODI MPYA YA WAZAZI…

14 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score ‎ ‎Na Job Karongo, Handeni TC ‎Mkuu wa Wilaya ya Handeni,…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *