BAYERN MUNICH KAZI WANAYO LEO USIKU WA ULAYA

BAYERN MUNICH KAZI WANAYO LEO USIKU WA ULAYA

  • Michezo
  • February 12, 2025
  • No Comment
  • 98

 

Hatua ya mtoano (playoff) kutafuta timu 8 zitazoungana na timu zingine 8 kutinga hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, itaendelea hii leo kwa michezo kadhaa kuchezwa ambapo ratiba hiyo ipo kama ifuatavyo:-

Celtic vs Bayern Munich

Feyenoord vs AC Milan

Monaco vs Benfica

 

Ikumbukwe pia usiku wa hapo jana baadhi ya michezo mitatu ilichezwa na ilichezwa na matokeo yake ni kama ifuatavyo.

Brest 0-3 PSG

Juventus 2-1 PSV

Sporting 0-3 Dortmund

Related post

REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

14 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeanza kusambaza mitungi ya gesi 19,530…
SERIKALI KUPITIA UCSAF KUFIKISHA MAWASILIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI*.

SERIKALI KUPITIA UCSAF KUFIKISHA MAWASILIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI*.

Serikali kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) inatarajia kuanza utekelezaji wa awamu mpya ya ujenzi wa minara 280 ya mawasiliano,…
TANZANIA YAJIPANGA KUONGOZA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA COP30

TANZANIA YAJIPANGA KUONGOZA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA COP30

16 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Cyprian Luhemeja…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *