DKT.NCHIMBI AWASILI MOROGORO KUENDELEA NA MIKUTANO YAKE YA KAMPENI.

DKT.NCHIMBI AWASILI MOROGORO KUENDELEA NA MIKUTANO YAKE YA KAMPENI.

  • Habari
  • October 18, 2025
  • No Comment
  • 6
13 / 100 SEO Score

Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Emmanuel John Nchimbi amewasili mkoani Morogoro leo Oktoba 18,2025 kuendelea na mikutano yake ya hadhara ya kampeni ya kusaka kura za ushindi wa Kishindo za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.Samia Suluhu Hassan,Wabunge na Madiwani

Kwa mujibu wa ratiba ya leo,Dkt.Nchimbi atafanya mikutano mitatu. Mkutano wa kwanza utakuwa ni wa kuwasalimia Wananchi katika kata ya Kidoma,Mikumi na mkutano mwingine utafanyika kata ya Mwaya,Kilombero na wa tatu utakuwa Mtimbira,Malinyi.

Related post

DC NYAMWESE: MIL. 530/- KUJENGA WODI MPYA YA WAZAZI HOSPITALI YA HANDENI MJI

DC NYAMWESE: MIL. 530/- KUJENGA WODI MPYA YA WAZAZI…

14 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score ‎ ‎Na Job Karongo, Handeni TC ‎Mkuu wa Wilaya ya Handeni,…
WAFANYABIASHARA, WAJASIRIAMALI HANDENI WAFUNGUKA SABABU ZA KUJITOKEZA KUPIGA KURA OKTOBA 29

WAFANYABIASHARA, WAJASIRIAMALI HANDENI WAFUNGUKA SABABU ZA KUJITOKEZA KUPIGA KURA…

18 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score   Na Augusta Njoji, Handeni TC Makundi mbalimbali ya wananchi katika…
REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

14 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeanza kusambaza mitungi ya gesi 19,530…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *