HAALAND BADO YUPO SANA ETIHAD

HAALAND BADO YUPO SANA ETIHAD

  • Michezo
  • January 17, 2025
  • No Comment
  • 104

Taarifa Kutoka Katika Jiji La Manchester Zinasema Kuwa, Mshambuliaji Erling Haaland, Ameogeza Mkataba Mpya Na Mrefu Zaidi Wa Kuendelea Kuitumikia Klabu Ya Manchester City.

 

Mkataba Huo Mpya Wa Miaka 9 Utamfanya Nyota Huyo Raia Wa Norway Kuendelea Kukaa Katika Viunga Vya Manchester Hadi Mwaka 2034.

 

Ikumbukwe Kuwa Mwanzo Kulikua Na Tetesi Nyingi Kumhusisha Nyota Huyo Kujiunga Na Real Madrid Huku Taarifa Zingine Zikidai Kuwa Kuwa Nyota Huyo Wa Zamani Wa Borussia Dortmund Ana Furaha Sana Kusalia Manchester City.

 

Related post

REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

14 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeanza kusambaza mitungi ya gesi 19,530…
SERIKALI KUPITIA UCSAF KUFIKISHA MAWASILIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI*.

SERIKALI KUPITIA UCSAF KUFIKISHA MAWASILIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI*.

Serikali kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) inatarajia kuanza utekelezaji wa awamu mpya ya ujenzi wa minara 280 ya mawasiliano,…
TANZANIA YAJIPANGA KUONGOZA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA COP30

TANZANIA YAJIPANGA KUONGOZA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA COP30

16 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Cyprian Luhemeja…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *