KENYA YAWATAKA RAIA WAKE KUREJEA MAKWAO

KENYA YAWATAKA RAIA WAKE KUREJEA MAKWAO

  • Habari
  • February 21, 2025
  • No Comment
  • 83

Kutokana na kuongezeka kwa ghasia nchini Kongo kati ya vikosi vya usalama na waasi wa M23, Serikali ya Kenya imetoa wito kwa wananchi wake kuondoka mapema na kurejea makwao.

 

Wito huo umetolewa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Kenya, Musalia Mudavadi ikiwa ni siku chache baada ya waasi wa M23 kudhibiti miji ya Bukavu na Goma, huku taarifa zikidai tayari waasi wameukaribia mji unaopakana na Burundi wa Uvira.

 

Wakati huo jumuiya ya Kimataifa imesisitiza kusitishwa kwa vita hivyo na kurejeshwa kwa hali ya amani, katika maeneo yote ya mashariki mwa DRC.

✍️| @kastulelias_

 

 

 

Related post

REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

14 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeanza kusambaza mitungi ya gesi 19,530…
SERIKALI KUPITIA UCSAF KUFIKISHA MAWASILIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI*.

SERIKALI KUPITIA UCSAF KUFIKISHA MAWASILIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI*.

Serikali kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) inatarajia kuanza utekelezaji wa awamu mpya ya ujenzi wa minara 280 ya mawasiliano,…
TANZANIA YAJIPANGA KUONGOZA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA COP30

TANZANIA YAJIPANGA KUONGOZA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA COP30

16 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Cyprian Luhemeja…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *