MAJALIWA AZINDUA KAMPENI ZA UBUNGE JIMBO LA MCHINGA

MAJALIWA AZINDUA KAMPENI ZA UBUNGE JIMBO LA MCHINGA

  • Habari
  • September 7, 2025
  • No Comment
  • 21
13 / 100 SEO Score

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi mkoa wa Lindi Alhaji Hassan Jarufu, Mgombea ubunge jimbo la Mchinga Salma Kikwete pamoja na Rais Mstaafu wa Awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na Mgombea Ubunge jimbo la Mtama Nape Nnauye, wakati alipozindua kampeni za Ubunge jimbo la Mchinga zilizofanyika katika kijiji cha Rutamba mkoani Lindi, Septembea 07, 2025 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Baadhi ya wananchi wakifuatilia uzunduzi wa kampeni ya ubunge wa jimbo la Mchinga zilizofanyika katika kijiji cha Rutamba mkoani Lindi. Mheshimiwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alikuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa kampeni hizo, Septembea 07, 2025 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Rais Mstaafu wa Awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho wakati alipozindua kampeni za Ubunge jimbo la Mchinga zilizofanyika katika kijiji cha Rutamba mkoani Lindi, Septembea 07, 2025 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Related post

WAFANYABIASHARA, WAJASIRIAMALI HANDENI WAFUNGUKA SABABU ZA KUJITOKEZA KUPIGA KURA OKTOBA 29

WAFANYABIASHARA, WAJASIRIAMALI HANDENI WAFUNGUKA SABABU ZA KUJITOKEZA KUPIGA KURA…

18 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score   Na Augusta Njoji, Handeni TC Makundi mbalimbali ya wananchi katika…
REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

14 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeanza kusambaza mitungi ya gesi 19,530…
SERIKALI KUPITIA UCSAF KUFIKISHA MAWASILIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI*.

SERIKALI KUPITIA UCSAF KUFIKISHA MAWASILIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI*.

Serikali kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) inatarajia kuanza utekelezaji wa awamu mpya ya ujenzi wa minara 280 ya mawasiliano,…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *