MBOWE AKUBALI YAISHE CHADEMA

MBOWE AKUBALI YAISHE CHADEMA

  • Habari
  • January 22, 2025
  • No Comment
  • 83

Aliyekua Mwenyekiti Wa Chama Cha Demokrasia Na Maendeleo Chadema Freeman Mbowe, Amekubali Kushindwa Na Mpinzani Wake Tundu Lissu Katika Uchaguzi Wa Kumchagua Mwenyekiti Wa Chama Hicho Upande Wa Tanzania Bara.

 

Mbowe Ambaye Amekua Madarakani Kwa Miongo Miwili Akikiongoza Chama Hicho Kikuu Cha Upinzani Nchini Tanzania Amekiri Kushindwa Katika Uchaguzi Huo Licha Ya Kuwa Matokeo Bado Hayajatangazwa Mpaka Hivi Sasa.

 

Kupitia Mtandao Wa X, Mbowe Amekiri Wazi Kuwa Ameshindwa Katika Uchaguzi Huo Na Amempongeza Lissu Na Kumtakia Kila Lakheri Katika Kukisimamia Chama Hicho Na Kuhakikisha Kinazidi Kusonga Mbele.

 

Mpaka Hivi Sasa Matokeo Ya Uchaguzi Huo Hayajatajwa Na Tunakuahidi Kukujuza Kila Litakalotokea.

✍️| Kastul Elias

Related post

SERIKALI YAPANGA KUIMARISHA UBORA NA USALAMA WA  CHAKULA

SERIKALI YAPANGA KUIMARISHA UBORA NA USALAMA WA  CHAKULA

16 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Suleiman Serera,akizungumza…
RAS ARUSHA: MAFUNZO YA PPRA YATAONDOA UWEZEKANO WA KUPATA HASARA

RAS ARUSHA: MAFUNZO YA PPRA YATAONDOA UWEZEKANO WA KUPATA…

11 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katibu Tawala Mkoa wa Arusha, Bw. Missaile Musa amesema mafunzo yanayotolewa…
BIL 527 ZATEKELEZA MIRADI 13 YA TANROADS TABORA-ENG MLIMAJI

BIL 527 ZATEKELEZA MIRADI 13 YA TANROADS TABORA-ENG MLIMAJI

16 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *