MKUU WA JESHI LA ISRAEL AJIUZULU

MKUU WA JESHI LA ISRAEL AJIUZULU

  • Habari
  • January 22, 2025
  • No Comment
  • 75

Meja Jenerali Herzi Halevi Ambaye Alikua Ni Mkuu Wa Jeshi La Israel Amejiuzulu Wadhifa Huo Kutokana Na Kile Alichokiita “Uzembe Katika Majukumu Yake” Baada Ya Kushindwa Kuzuia Uvamizi Wa Kundi La Wanamgambo Wa Hamas, Oktoba 7 Mwaka 2023.

 

Katika Barua Ya Kujiuzulu Meja Jenerali Halevi Amesema Amefikia Uamuzi Wa Kujiudhulu Wadhifa Huo Kwasababu Alishindwa Kuzuia Uvamizi Wa Oktoba 7 Na Kusema Kwamba Anaondoka Katika Wakati Ambapo Yamepatikana Mafanikio Katika Jeshi Hilo La Israel.

 

Wakati Huo, Kiongozi Wa Upinzani Wa Israel Yair Lapid Ameitaka Serikali Ya Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu Ijiuzulu Baada Ya Halevi Kujiuzulu.

✍️| Kastul Elias

Chanzo: DW

Related post

SERIKALI YAPANGA KUIMARISHA UBORA NA USALAMA WA  CHAKULA

SERIKALI YAPANGA KUIMARISHA UBORA NA USALAMA WA  CHAKULA

16 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Suleiman Serera,akizungumza…
RAS ARUSHA: MAFUNZO YA PPRA YATAONDOA UWEZEKANO WA KUPATA HASARA

RAS ARUSHA: MAFUNZO YA PPRA YATAONDOA UWEZEKANO WA KUPATA…

11 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katibu Tawala Mkoa wa Arusha, Bw. Missaile Musa amesema mafunzo yanayotolewa…
BIL 527 ZATEKELEZA MIRADI 13 YA TANROADS TABORA-ENG MLIMAJI

BIL 527 ZATEKELEZA MIRADI 13 YA TANROADS TABORA-ENG MLIMAJI

16 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *