MNYAMA KUREJEA KILELENI LEO?

MNYAMA KUREJEA KILELENI LEO?

  • Michezo
  • February 6, 2025
  • No Comment
  • 67

Baada Ya Kuwashuhudia Jana Wananchi Yanga Wakitoa Kipigo Cha Mabao 6-1 Dhidi Ya Kengold Na Kukwea Kileleni Mwa Msimamo Wa NBC, Leo Jioni Wekundu Wa Msimbazi Simba Sc, Watakua Uwanjani Kucheza Na Fountain Gate.

 

Mchezo Huo Utachezwa Katika Uwanja Wa Tanzanite Kwaara Uliopo Manyara Majira Ya Saa 10 Jioni, Ambapo Simba Watakua Na Kazi Moja Tu Ya Kuhakikisha Wanapata Alama Tatu Zitakazowafanya Kurudi Kileleni Mwa Msimamo Huo.

 

Si Mara Ya Kwanza Kwa Simba Kukutana Na Fountain Gate Kwani Mchezo Wa Kwanza Walipokutana Katika Uwanja Wa KMC Complex, Simba Iliibuka Na Ushindi Wa Magoli 4-0.

✍️| Kastul Elias

Related post

REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

14 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeanza kusambaza mitungi ya gesi 19,530…
SERIKALI KUPITIA UCSAF KUFIKISHA MAWASILIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI*.

SERIKALI KUPITIA UCSAF KUFIKISHA MAWASILIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI*.

Serikali kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) inatarajia kuanza utekelezaji wa awamu mpya ya ujenzi wa minara 280 ya mawasiliano,…
TANZANIA YAJIPANGA KUONGOZA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA COP30

TANZANIA YAJIPANGA KUONGOZA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA COP30

16 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Cyprian Luhemeja…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *