NDOA YA YANGA NA PACOME IPO MWISHONI

NDOA YA YANGA NA PACOME IPO MWISHONI

  • Michezo
  • January 27, 2025
  • No Comment
  • 97

Inaelezwa Kuwa Mkataba Wa Nyota Wa Yanga Raia Wa Ivory Coast Pacome Zouzoua Upo Mbioni Kutamatika Na Hakuna Mazungumzo Ya Kuongeza Mkataba Yaliyofanyika Hadi Hivi Sasa.

 

Kwa Mjibu Wa Mwandishi Wa Habari Za Kimichezo Nchini, Hans Rafael Amesema Kuwa Nyota Huyo Amebakiza Mkataba Wa Miezi Sita (6) Ambao Utatamatika Mwishoni Mwa Msimu Huu.

 

Pacome Alijiunga Na Yanga Julai 19, 2023 Kwa Mkataba Wa Miaka Miwili Na Tangu Ajiunge Na Wananchi Amekua Na Kiwango Bora Katika Michezo Yote Aliyocheza Akiwa Na Jezi Ya Yanga.

✍️| Kastul Elias

Related post

REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

14 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeanza kusambaza mitungi ya gesi 19,530…
SERIKALI KUPITIA UCSAF KUFIKISHA MAWASILIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI*.

SERIKALI KUPITIA UCSAF KUFIKISHA MAWASILIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI*.

Serikali kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) inatarajia kuanza utekelezaji wa awamu mpya ya ujenzi wa minara 280 ya mawasiliano,…
TANZANIA YAJIPANGA KUONGOZA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA COP30

TANZANIA YAJIPANGA KUONGOZA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA COP30

16 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Cyprian Luhemeja…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *