PAPA FRANCIS KUENDELEA KUKAA HOSPITALI

PAPA FRANCIS KUENDELEA KUKAA HOSPITALI

  • Habari
  • February 16, 2025
  • No Comment
  • 59

Hali ya kiongozi wa Kanisa katoliki duniani Papa Francis, inaendelea kuimarika baada ya kukimbizwa hospitalini kwa matibabu ya haraka kufuatia kupata maambukizi kwenye njia ya upumuaji.

 

Shirika la habari la Italia, ANSA limeripoti kuwa Papa Francis amelazwa katika hospitali ya Gemelli iliyoko mjini Rome na anapokea matibabu na hivyo hatoweza kujitokeza hadharani hii leo Jumapili kuongoza ibada ya wiki kwa sababu madaktari wamemtaka kiongozi huyo wa Kanisa katoliki apumzike.

 

Aidha, Taarifa ya makao makuu ya kanisa Katoliki, Vatican imesema Papa Francis ataendelea kuwa hospitalini kwa muda kwa ajili ya kupokea matibabu.

✍️| Kastul Elias

Related post

UCHAFUZI WA MAZINGIRA KUFUATILIWA KIDIGITALI

UCHAFUZI WA MAZINGIRA KUFUATILIWA KIDIGITALI

17 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score NEMC imeshiriki uzinduzi wa mfumo wa kidigitali wa kufuatilia uchafuzi wa…
NEMC YAWATAKA WATANZANIA KULINDA VYANZO VYA MAJI

NEMC YAWATAKA WATANZANIA KULINDA VYANZO VYA MAJI

12 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Mhandisi wa Mazingira na Miundombinu ya Maji kutoka Baraza la Taifa…
KALIUA YANUNUA MTAMBO WA KUTENGENEZA BARABARA

KALIUA YANUNUA MTAMBO WA KUTENGENEZA BARABARA

13 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score KATIKA kutekeleza mkakati wa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *