RAIS WA ZANZIBAR DKT. MWINYI ASHUHUDIA UITIAJI WA SAINI YA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO WA MIRADI YA KIMKAKATI BAINA YA ZANZIBAR NA QATAR MIN

RAIS WA ZANZIBAR DKT. MWINYI ASHUHUDIA UITIAJI WA SAINI YA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO WA MIRADI YA KIMKAKATI BAINA YA ZANZIBAR NA QATAR MIN

  • Habari
  • August 29, 2025
  • No Comment
  • 20
13 / 100 SEO Score

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akishuhudia utiaji wa Saini ya Makubaliano ya Ushirikiano wa Utekelezaji wa Miradi ya Kimkakati ya Kiuchumi katika Sekta mbalimbali baina ya Qatar na Zanzibar, kwa upande wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar akisaini Katibu Mkuu Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais,Kazi,Uchumi na Uwekezaji Zanzibar Ndg. Khamis Mwalimu Suleiman (kushoto kwa Rais) kwa Qatar akisaini mmoja wa mwana familia ya Kifalme ya Qatar Sheikh Mohammad bin Mansour bin Jabor bin Jassim Al Thani, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 29-8-2025.(Picha na Ikulu)

 

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akishuhudia makabidhiano ya hati za utiaji wa Saini ya Makubaliano ya Ushirikiano wa Utekelezaji wa Miradi ya Kimkakati ya Kiuchumi katika Sekta mbalimbali baina ya Qatar na Zanzibar, kwa upande wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar amesaini Katibu Mkuu Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais,Kazi,Uchumi na Uwekezaji Zanzibar Ndg. Khamis Mwalimu Suleiman (kushoto kwa Rais) kwa Qatar amesaini mmoja wa mwana familia ya Kifalme ya Qatar Sheikh Mohammad bin Mansour bin Jabor bin Jassim Al Thani, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 29-8-2025.(Picha na Ikulu)

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi zawadi ya picha ikionesha mandhari ya Mji Mkongwe wa Zanzibar, mmoja wa mwana familia ya Kifalme ya Qatar Sheikh Mohammad bin Mansour bin Jabor bin Jassim Al Thani, baada ya kumalizika kwa hafla ya utiaji wa Saini ya Makubaliano ya Ushirikiano wa Utekelezaji wa Miradi ya Kimkakati ya Kiuchumi katika Sekta mbalimbali, baina ya Qatar na Zanzibar, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 29-8-2025.(Picha na Ikulu)

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi zawadi ya Mlango wa Zanzibar mgeni wake mmoja wa mwana familia ya Kifalme ya Qatar Sheikh Mohammad bin Mansour bin Jabor bin Jassim Al Thani,baada ya kumalizika kwa hafla ya utiaji wa Saini ya Makubaliano ya Ushirikiano wa Utekelezaji wa Miradi ya Kimkakati ya Kiuchumi katika Sekta mbalimbali, baina ya Qatar na Zanzibar, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 29-8-2025.(Picha na Ikulu) 

Related post

SERIKALI YAPANGA KUIMARISHA UBORA NA USALAMA WA  CHAKULA

SERIKALI YAPANGA KUIMARISHA UBORA NA USALAMA WA  CHAKULA

16 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Suleiman Serera,akizungumza…
RAS ARUSHA: MAFUNZO YA PPRA YATAONDOA UWEZEKANO WA KUPATA HASARA

RAS ARUSHA: MAFUNZO YA PPRA YATAONDOA UWEZEKANO WA KUPATA…

11 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katibu Tawala Mkoa wa Arusha, Bw. Missaile Musa amesema mafunzo yanayotolewa…
BIL 527 ZATEKELEZA MIRADI 13 YA TANROADS TABORA-ENG MLIMAJI

BIL 527 ZATEKELEZA MIRADI 13 YA TANROADS TABORA-ENG MLIMAJI

16 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *