UFAULU WAONGEZEKA KWA 3% MATOKEO KIDATO CHA NNE

UFAULU WAONGEZEKA KWA 3% MATOKEO KIDATO CHA NNE

  • Habari
  • January 23, 2025
  • No Comment
  • 87

Baraza La Mitihani La Tanzania (NECTA) Limetangaza Matokeo Ya Kidato Cha Nne Kwa Mwaka 2024, Ambapo Jumla Ya Watahiniwa 477,262 Kati Ya 516,695 Waliofanya Mitihani Hiyo Wamefaulu Kwa Kupata Madaraja Ya I, II, III Na IV.

 

Taarifa Ya NECTA Imesema Kuwa Ufaulu Huo Umepanda Kwa Asilimia 3, Hivyo Kufikia Asilimia 92.37 Kutoka Asilimia 89.36 Mwaka 2023.

✍️| Kastul Elias

 

#bmtvtanzania

 

Related post

WAFANYABIASHARA, WAJASIRIAMALI HANDENI WAFUNGUKA SABABU ZA KUJITOKEZA KUPIGA KURA OKTOBA 29

WAFANYABIASHARA, WAJASIRIAMALI HANDENI WAFUNGUKA SABABU ZA KUJITOKEZA KUPIGA KURA…

18 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score   Na Augusta Njoji, Handeni TC Makundi mbalimbali ya wananchi katika…
REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

14 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeanza kusambaza mitungi ya gesi 19,530…
SERIKALI KUPITIA UCSAF KUFIKISHA MAWASILIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI*.

SERIKALI KUPITIA UCSAF KUFIKISHA MAWASILIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI*.

Serikali kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) inatarajia kuanza utekelezaji wa awamu mpya ya ujenzi wa minara 280 ya mawasiliano,…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *