VITA YA URUSI NA UKRAINE YAPOTEZA WANAJESHI 1,000 WA KOREA

VITA YA URUSI NA UKRAINE YAPOTEZA WANAJESHI 1,000 WA KOREA

  • Habari
  • January 23, 2025
  • No Comment
  • 75

Duru Mbalimbali Za Habari Zimeripoti Kuwa Takriban Wanajeshi 1,000 Wa Korea Kaskazini Wameuawa Na 3,000 Kujeruhiwa Katika Kipindi Cha Miezi Mitatu Wakati Wa Vita Vya Urusi Na Ukraine.

 

Imeelezwa Kuwa Korea Kaskazini Inaaminika Kutuma Wanajeshi 11,000 Kusaidia Jeshi La Urusi Kuwaondoa Wanajeshi Wa Ukraine Waliopo Katika Eneo La Kursk Kusini Magharibi.

 

Kwa Mjibu Wa Duru Hizo Zinadai Kuwa Wanajeshi Wa Korea Kaskazini Hawana Mafunzo Ya Kutosha Na Wanapigana Kwa Mbinu Za Kizamani, Wakiwa Hatarini Kushambuliwa Na Ndege Zisizo Na Rubani Zinazotumiwa Na Ukraine.

✍️| Kastul Elias

Related post

SERIKALI YAPANGA KUIMARISHA UBORA NA USALAMA WA  CHAKULA

SERIKALI YAPANGA KUIMARISHA UBORA NA USALAMA WA  CHAKULA

16 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Suleiman Serera,akizungumza…
RAS ARUSHA: MAFUNZO YA PPRA YATAONDOA UWEZEKANO WA KUPATA HASARA

RAS ARUSHA: MAFUNZO YA PPRA YATAONDOA UWEZEKANO WA KUPATA…

11 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katibu Tawala Mkoa wa Arusha, Bw. Missaile Musa amesema mafunzo yanayotolewa…
BIL 527 ZATEKELEZA MIRADI 13 YA TANROADS TABORA-ENG MLIMAJI

BIL 527 ZATEKELEZA MIRADI 13 YA TANROADS TABORA-ENG MLIMAJI

16 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *