WAZIRI WA ULINZI NA JKT ZIARANI NCHINI ITALIA AFANYA MAZUNGUMZO NA WAZIRI WA ULINZI WA ITALIA

WAZIRI WA ULINZI NA JKT ZIARANI NCHINI ITALIA AFANYA MAZUNGUMZO NA WAZIRI WA ULINZI WA ITALIA

  • Michezo
  • March 27, 2025
  • No Comment
  • 70

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt Stergomena Lawrence Tax (Mb), tarehe 26, Machi, 2025, amefanya ziara ya kikazi nchini Italia kwa mwaliko wa serikali ya nchi hiyo ambapo amekutana na kufanya mazungumzo na mwenyeji wake Waziri wa Ulinzi wa Italia Bwana Guido Crosetto.
Mazungumzo baina ya Viongozi hao wa Serikali za Tanzania na Italia yaligusa pia maeneo muhimu ya ushirikiano katika Sekta ya Ulinzi baina ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa kwa niaba ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na serikali ya Italia kupitia wizara yake ya Ulinzi.

Related post

WAZIRI WA ULINZI ASHIRIKI KIKAO CHA DHARURA CHA MAWAZIRI WA ASASI YA SIASA, ULINZI NA USALAMA YA JUMUIYA YA MAENDELEO KUSINI MWA AFRIKA (SADC)

WAZIRI WA ULINZI ASHIRIKI KIKAO CHA DHARURA CHA MAWAZIRI…

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mheshimiwa Dkt. Stergomena Tax (Mb), tarehe 05 Machi, 2025, ameshiriki kikao cha Dharura…
WAZIRI WA ULINZI NA JKT AFANYA ZIARA YA KIKAZI CHUO CHA MAFUNZO YA KIJESHI MONDULI, ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA JENGO LA ASKARI KAPERA WANAWAKE

WAZIRI WA ULINZI NA JKT AFANYA ZIARA YA KIKAZI…

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mheshimiwa Dkt. Stergomena Tax (Mb), tarehe 05 Machi, 2025 amefanya ziara ya kikazi…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *