YANGA BILA RAMOVIC KUIKABILI KENGOLD LEO

YANGA BILA RAMOVIC KUIKABILI KENGOLD LEO

  • Michezo
  • February 5, 2025
  • No Comment
  • 72

Mabingwa Tetezi Wa Ligi Kuu Ya NBC Klabu Ya Yanga, Leo Watashuka Uwanjani Kuzisaka Alama Tatu Mhimu Mbele Ya Kengold.

 

Yanga Wanaingia Katika Mchezo Huo Wakiwa Na Kumbukumbu Ya Kuibuka Na Ushindi Wa Bao 1-0 Katika Mchezo Wa Kwanza Uliochezwa Sokoine Jijini Mbeya.

 

Mpaka Hivi Sasa Yanga Wapo Nafasi Ya Pili Ya Msimamo Alama Moja Nyuma Kutoka Kwa Kinara Wa Ligi Klabu Ya Simba SC, Na Akishinda Mchezo Huo Atafikisha Alama 45 Na Kuongoza Msimamo Wa NBC Huku Wakisubiri Matokeo Ya Simba Dhidi Ya Fountain Gate FC Hapo Kesho.

✍️| Kastul Elias

Related post

REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

14 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeanza kusambaza mitungi ya gesi 19,530…
SERIKALI KUPITIA UCSAF KUFIKISHA MAWASILIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI*.

SERIKALI KUPITIA UCSAF KUFIKISHA MAWASILIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI*.

Serikali kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) inatarajia kuanza utekelezaji wa awamu mpya ya ujenzi wa minara 280 ya mawasiliano,…
TANZANIA YAJIPANGA KUONGOZA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA COP30

TANZANIA YAJIPANGA KUONGOZA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA COP30

16 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Cyprian Luhemeja…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *