YANGA USO KWA USO NA PAMBA JIJI LEO NBC

YANGA USO KWA USO NA PAMBA JIJI LEO NBC

  • Michezo
  • February 28, 2025
  • No Comment
  • 86

Vinara wa ligi kuu ya NBC Yanga, jioni ya leo watakua na kibarua kizito cha kuhakikisha wanazipata alama tatu mhimu mbele ya wenyeji wao Pamba Jiji FC.

 

Mchezo huo utakaochezwa majira ya saa 10 jioni katika dimba la CCM Kirumba, huku Pamba wakiingia katika mchezo huo wakiwa na kumbukumbu mbaya ya kupoteza kwa mabao 4-0 dhidi ya Yanga, katika mchezo wa raundi ya kwanza ya NBC.

 

Mbali na mchzo huo, Walina Asali, Tabora United nao watashuka uwanjani majira ya saa 8 mchana kucheza na Dodoma Jiji FC, katika mwendelezo wa NBC. Mchezo huo utachezwa katika dimba la Ally Hassan Mwinyi lililopo mkoani Tabora.

✍️| @kastulelias_

Related post

REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

14 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeanza kusambaza mitungi ya gesi 19,530…
SERIKALI KUPITIA UCSAF KUFIKISHA MAWASILIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI*.

SERIKALI KUPITIA UCSAF KUFIKISHA MAWASILIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI*.

Serikali kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) inatarajia kuanza utekelezaji wa awamu mpya ya ujenzi wa minara 280 ya mawasiliano,…
TANZANIA YAJIPANGA KUONGOZA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA COP30

TANZANIA YAJIPANGA KUONGOZA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA COP30

16 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Cyprian Luhemeja…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *