EBITOKE AKAMATWA NA JESHI LA POLISI UFUKWENI MTWARA

EBITOKE AKAMATWA NA JESHI LA POLISI UFUKWENI MTWARA

10 / 100 SEO Score

Jeshi la Polisi mkoani Mtwara limethibitisha kumkamata Msanii wa vichekesho nchini Tanzania, Anastanzia Exavery Mahatane (27) maarufu kama Ebitoke katika fukwe za Msanga Mkuu akiwa katika hali ya kuchanganyikiwa, kinyume na madai aliyoyatoa mtandaoni kuwa ametekwa na kutumbukizwa shimoni.


Taarifa ya Jeshi la Polisi, imesema kuwa Ebitoke amekua akiishi Mkoani Mtwara tangu Aprili 2025 na alikuwa akiishi kwa watu aliowafahamu, huku Uchunguzi wa awali umebaini kuwa hakutekwa kama alivyoeleza kupitia mitandao ya kijamii mnamo Julai 30.

Aidha, Jeshi la Polisi limemfikisha katika Hospitali ya Mkoa wa Mtwara kwa matibabu, na limewaomba ndugu na jamaa zake kufika kumsaidia au kumchukua.

Related post

WAFANYABIASHARA, WAJASIRIAMALI HANDENI WAFUNGUKA SABABU ZA KUJITOKEZA KUPIGA KURA OKTOBA 29

WAFANYABIASHARA, WAJASIRIAMALI HANDENI WAFUNGUKA SABABU ZA KUJITOKEZA KUPIGA KURA…

18 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score   Na Augusta Njoji, Handeni TC Makundi mbalimbali ya wananchi katika…
REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

14 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeanza kusambaza mitungi ya gesi 19,530…
SERIKALI KUPITIA UCSAF KUFIKISHA MAWASILIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI*.

SERIKALI KUPITIA UCSAF KUFIKISHA MAWASILIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI*.

Serikali kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) inatarajia kuanza utekelezaji wa awamu mpya ya ujenzi wa minara 280 ya mawasiliano,…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *