DKT.NCHIMBI ATUA LITUHI NYASA-RUVUMA KUSAKA KURA ZA USHINDI WA KISHINDO ZA CCM

DKT.NCHIMBI ATUA LITUHI NYASA-RUVUMA KUSAKA KURA ZA USHINDI WA KISHINDO ZA CCM

  • Habari
  • October 19, 2025
  • No Comment
  • 8
13 / 100 SEO Score

Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Emmanuel John Nchimbi akiwasili katika uwanja wa Kata ya Lituhi,jimbo la Nyasa mkoani Ruvuma, leo Oktoba 19,2025 kwa ajili ya kuwahutubia Wananchi hao,ikiwa ni mwendelezo wa mikutano yake ya hadhara ya kampeni nchi nzima kusaka kura za ushindi wa kishindo za mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.Samia Suluhu Hassan,Wabunge na Madiwani.

Mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Lituhi, Balozi Dkt.Nchimbi amepewa baraka kutoka Nyumbani kwao kwa nafasi aliyopewa kuwa mgombea mwenza wa Urais kupitia CCM, zoezi hilo limeongozwa na Chifu wa himaya ya Nyasa na Katibu wa Machifu mkoa wa Ruvuma,Sadi Wabu.           

Related post

REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

REA YAANZA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI MARA

14 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeanza kusambaza mitungi ya gesi 19,530…
SERIKALI KUPITIA UCSAF KUFIKISHA MAWASILIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI*.

SERIKALI KUPITIA UCSAF KUFIKISHA MAWASILIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI*.

Serikali kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) inatarajia kuanza utekelezaji wa awamu mpya ya ujenzi wa minara 280 ya mawasiliano,…
TANZANIA YAJIPANGA KUONGOZA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA COP30

TANZANIA YAJIPANGA KUONGOZA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA COP30

16 / 100 Powered by Rank Math SEO SEO Score Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Cyprian Luhemeja…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *